KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YATEMBELEA KAMPUNI YA SIMU YA MKONONI YA TIGO - Rhevan Media

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YATEMBELEA KAMPUNI YA SIMU YA MKONONI YA TIGO


Wajumbe wa kamati ya kudumu ya bunge ya Miundombinu ya Bunge la Jamhuri ya Muungano Tanzania wakiwasili kwenye ofisi za Tigo Jijini
Dar Es salaam leo

Mkurugenzi Mtendaji  wa Tigo Tanzania, Diego Gutierrez akiwakaribisha wajumbe wa kamati ya
kudumu ya Miundo mbinu, mara baada ya kuwasili katika ofisi za Tigo Kijitonyama
leo.
Mkurugenzi Mtendaji  wa Tigo Tanzania, Diego Gutierrez akiwakaribisha wajumbe wa kamati ya
kudumu ya Miundo mbinu, mara baada ya kuwasili katika ofisi za Tigo Kijitonyama
leo.
  Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya  bunge ya Miundo mbinu, Prof. Norman
Sigalla  akifafanua jambo kwa Mkurugenzi Mtendaji  wa Tigo Tanzania, Diego
Gutierrez na mjumbe wa kamati hiyo.
  Mkurugenzi Mtendaji  wa Tigo Tanzania, Diego Gutierrez akiongea na wajumbe wa kamati ya kudumu ya bunge ya miundombinu kwenye kikao kilichofanyika leo ofisi za Tigo jijini Dar Es Salaam.
  Mkurugenzi Mtendaji  wa Tigo Tanzania, Diego Gutierrez akifafanua jambo  kwa  wajumbe wa kamati ya kudumu ya bunge ya miundombinu kwenye kikao kilichofanyika leo ofisi za Tigo jijini Dar Es Salaam.
. Mjumbe wa kamati ya Miundombinu ya bunge la Jamhuri ya Muungano Tanzania Mh. Anna Tibaijuka
akiongea na wafanyakazi wa Tigo
Ofisa Mkuu wa Kitengo cha Ufundi Tigo,Jerome Albou, akifafanua jambo kwa wajumbe wa kamati ya
miundombinu ya bunge la Tanzania walipotembelea ofisi za Tigo leo
. Mjumbe wa kamati ya Miundombinu ya bunge la Jamhuri ya Muungano Tanzania Mh. Anna Tibaijuka
akiongea na wafanyakazi wa Tigo
 Mkurugenzi Mtendaji  wa Tigo Tanzania, Diego Gutierrez akiongea na
wajumbe wa kamati ya kudumu ya bunge ya miundombinu kwenye kikao kilichofanyika
leo ofisi za Tigo jijini Dar Es Salaam.

Previous
Next Post »