Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akisalimiana na Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi (Sekta ya Ujenzi) Dkt. William Nshama wakati alipokagua maendeleo ya Jengo jipya la Ofisi za Wizara hiyo lililoko Mtaa wa Moshi, mkoani Dodoma.
Meneja Kanda ya Kati kutoka Wakala wa Majengo Nchini (TBA-Brigade) Mkadiriaji Majenzi Herman Tanguye akitoa maelezo kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa kuhusu maendeleo ya mgawanyo wa vyumba vya ofisi yaliyofikiwa Katika Jengo jipya la Wizara hiyo lililoko Mtaa wa Moshi, mkoani Dodoma.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akitoa maelekezo kwa Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi (Sekta ya Ujenzi) Dkt. William Nshama wakati alipokagua maendeleo yaliyofikiwa ya mgawanyo wa ofisi katika Jengo jipya la Wizara hiyo lililoko Mtaa wa Moshi, mkoani Dodoma.
Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi (Sekta ya Ujenzi) Dkt. William Nshama akifafanua jambo kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa kuhusu hatua zilizofikiwa katika Jengo jipya la Ofisi za Wizara hiyo lililoko Mtaa wa Moshi, mkoani Dodoma.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (kushoto), akisisitiza jambo kwa Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi (Sekta ya Ujenzi) Dkt. William Nshama (katikati), wakati alipokagua na kuona mgawanyo wa Ofisi kwa Sekta zake katika Jengo jipya la Wizara hiyo lililoko Mtaa wa Moshi mkoani Dodoma. Kulia ni Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo (Sekta ya Ujenzi), Eng. Ven Ndyamukama.
Sign up here with your email