MTU MMOJA ADAIWA KUPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI YA BASI LA KIMBINYIKO MKOANI MOROGORO - Rhevan Media

MTU MMOJA ADAIWA KUPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI YA BASI LA KIMBINYIKO MKOANI MOROGORO

 Basi la abiria mali ya Kampuni ya Kimbilinyiko lenye namba za usajili T 440 DCW likiwa limegongana na Gari ndogo aina ya Nissan Hardbody pickup yenye namba za usajili SU 37965, katika ajali iloyotokea jana jioni eneo la Miseyu, Barabara kuu ya Morogoro - Dar es salaam. inadaiwa mtu mmoja alipoteza maisha na wengine kujeruhiwa. chanzo cha ajali hakikuweza patikana kwa haraka.Picha na Josephat Mmbando.
 
Gari hizo zinavyoonekana kufuatia ajali hiyo.
Sehemu ya Mashuhuda pamoja na abiria waliokuwemo kwenye basi hilo.


Previous
Next Post »