SIMU TV:YALIYOJIRI KATIKA VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI LEO January 21, 2017 - Rhevan Media

SIMU TV:YALIYOJIRI KATIKA VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI LEO January 21, 2017

 Picha inayohusiana



Makamo wa rais wa Tanzania amesema Tanzania itaendeelea kudumisha na kuimarisha mahusiano mazuri na jamuhuri ya watu wa china: https://youtu.be/iUDEmN4fxA4

Waziri mkuu amesema serikali imetoa shilingi bilioni 1.4 kwa ajili ya ujenzi wa hospitali ya rufaa ya mkoa wa Njombe: https://youtu.be/ZMNf9HgyKBE

Uhaba wa chakula unaowakumba baadhi ya wananchi hapa nchini   umechukua sura mpya baada ya wakazi wa mkoa wa Rukwa kudai kuwa hawana njaa ya chakula: https://youtu.be/finpdqBqHng

Watanzania wapewa changamoto ya kuchangamkia  fursa ya masomo   zinazopatikana nchini Uturuki  ili waweze kupata taaluma bora: https://youtu.be/kh1Q1bk_5Jg

Spika wa bunge Mh.Jobu Ndugai amepokea barua ya kujiuzulu ubunge kutoka kwa Abdallah Posi  baada ya kuteuliwa kuwa balozi: https://youtu.be/FXLXvjmR_Xs

Klabu la gofu ya jeshi la ulinzi wa  wananchi wa Tanzania wapo kwenye maandalizi ya maadhimisho ya miaka 10 ya klabu ya Lugalo: https://youtu.be/U4_RmCEtPp8


Previous
Next Post »