
Kwa utaratibu wa sasa, serikali itachukua kodi ya 10% ya makato wakati unatuma pesa na kupokea pesa pamoja na VAT (18%)
Ngoja nikupe mfano.
Umetuma 20,000. Afu makato yakawa 500.
Serikali itachukua kodi asilimia 10 ya hiyo 500, yaan itachukua sh 50/-
Na pia itachukua VAT ambayo ni 18% ya hiyo 500, ambayo ni sawa na Sh 90/-
Kwahiyo kwenye kutuma pesa, una katwa 500, kwenye hiyo 500, serikali inachukua (50+90=140)
Unapopokea pesa, ukaenda kutoa kwa wakala, lets say umetoa 20,000. Unakatwa 1,200.
Serikali itachukua asilimia 10 ya hiyo 1,200. Yaani sh 120/-
Pia VAT ambayo ni 18% ya 1200, ambayo ni sh 216/-
Kwahiyo, makato yanakuwa (216+120 =330)
Huo ndo ufafanuzi sahihi.
Sign up here with your email
