Uskochi ilipiga kura kwa wingi kubaki katika umoja huo
Bibi Sturgeon alisema, anataka kuwalinda watu wa Scotland na matokeo mabaya na ambayo yatawaumiza, nchi itapotoka katika Umoja wa Ulaya
Ameshazungumza juu ya uwezekano wa kufanya kura nyengine ya maoni, kujitenga na Uingereza.
Sign up here with your email
