WALOFUKUZWA CLOUDS FM WARUDISHWA TENA. rhevanstudio 12:01:00 rhevanstudio Watangazaji Masoud Kipanya na Fina Mango baada ya kufukuzwa kazi Clouda Fm Miaka kadhaa iliyopita leo wamerejeshwa tena.Hii ni baada ya Gelard Hando na Paul James kuacha kazi siku chache zilizopita. Tweet Share Share Share Share Sign up here with your email