MKURUGENZI WA NHC APINGANA NA SERIKALI. - Rhevan Media

MKURUGENZI WA NHC APINGANA NA SERIKALI.



Baada ya Shirika la Nyumba Tanzania (NHC) kutakiwa kuuza nyumba zake kwa bei nafuu ili wananchi wa kipato cha chini nao waweze kumudu kununua, Mkurugenzi wa (NHC) Nehemia Mchechu amesema kuwa ni vigumu kuuza nyumba kwa bei ya chini ikizingatiwa kuwa upatikanaji wa ardhi na gharama za ujenzi ziko juu.
Previous
Next Post »