WAZIRI AMPA CHAPUO MKURUNGENZI NSSF. - Rhevan Media

WAZIRI AMPA CHAPUO MKURUNGENZI NSSF.

Waziri Jenister Mhagama ametengua uteuzi wa kaimu mkurugenzi NSSF, kisa??.

Jenister Mhagama ambaye ni Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, ameamua kutengua uteuzi wa Kaimu Mkurugenzi NSSF Dr Carina Wangwe.
Taarifa iliyotolewa usiku wa jana  imeeleza kuwa uteuzi huo umetenguliwa kutokana na kutokamilika kwa baadhi ya taratibu.
Uteuzi mpya kwa mujibu wa mamlaka na sheria utakapofanyika taarifa zitatolewa kwa wananchi.
Previous
Next Post »