
Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amesema katika vikao vya kutafuta ufumbuzi wa mkwamo wa kisiasa Zanzibar, walivyofanya na Rais Ali Mohamed Shein, walikubaliana kuwa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) haifai tena kusimamia uchaguzi na kujadiliana kuhusu namna ya kupata tume nyingine inayoweza kufanya kazi hiyo.
Hivyo, ameelezea kushangazwa na kitendo cha Serikali ya CCM kuukubali uamuzi aliouita batili wa ZEC kutaka kufanya uchaguzi wa marudio.
Hivyo, ameelezea kushangazwa na kitendo cha Serikali ya CCM kuukubali uamuzi aliouita batili wa ZEC kutaka kufanya uchaguzi wa marudio.
Sign up here with your email