
Katibu mkuu afya Dk Mpoki Ulisubisya, aongoza kusomba meza Muhimbili kupata wodi ya wazazi.Jengo hilo lilikuwa likitumika kama ofisi ya kitengo cha afya ya uzazi na mtoto.Agizo hilo lilitolewa na rais Magufuli juzi na kutekelezwa mara moja.
Sign up here with your email