WAZIRI WA MAGUFURI AICHARUKIA PEPSI JIJINI MWANZA. - Rhevan Media

WAZIRI WA MAGUFURI AICHARUKIA PEPSI JIJINI MWANZA.

Waziri wa Ajira na Kazi, amefuta leseni ya wakala wa ajira wa Kampuni ya SBC Tanzania, ambao ndio watengenezaji na wasambazaji wa Pepsi Jijini Mwanza, kwa sababu ya ukiukaji wa sheria ya ajira kazini.

-Pia ametoa siku 14 kwa kampuni hiyo kukamilisha vifaa vyote vinavyohitajika kwa wafanyakazi pamoja na kuwalipa stahiki zao
Previous
Next Post »