Vijana wa UVCCM Zanzibar waitaka CCM imfukuze uanachama Rais Mstaafu wa Zanzibar Aman Karume, wadai ameungana na hoja za upinzani.
-Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Sadifa Juma Khamis amesema asipofukuzwa umoja huo utatumia njia zingine ambazo hakuziweka wazi.
Sign up here with your email