MWANAUME MMOJA AFANYA MAAMUZI MAGUMU BAADA YA MKE WAKE KUHAMIA KWA KIDUMU - Rhevan Media

MWANAUME MMOJA AFANYA MAAMUZI MAGUMU BAADA YA MKE WAKE KUHAMIA KWA KIDUMU

Tokeo la picha la KITANZIKENYA: Mwanaume mmoja amejiua kwa kujinyonga baada ya Mke wake kuondoka nyumbani kwa madai kuwa anamahisiano na Mwanamke mwingine.

Mwanaume huyo amabye ni mchimbaji wa madini alipigwa na butwaa baada ya kurejea nyumbani na kubaini mkewe ameondoka na Watoto wote.
Previous
Next Post »