CHAMA CHA WALEMAVU ( CHAWATA ) WATUMA MAOMBI KAYA KWA RAIS MAGUFULI - Rhevan Media

CHAMA CHA WALEMAVU ( CHAWATA ) WATUMA MAOMBI KAYA KWA RAIS MAGUFULI

Chama cha Walemavu(CHAWATA) chamuomba Rais Magufuli aagize biashara ya usafirishaji wa Abiria kwa Bajaji ifanywe na walemavu pekee.

Wameitaka Serikali itambue Bajaji kama chanzo cha mapato yao kwa kuwa ni shughuli wanayoweza kufanya kwa kutumia viungo vya miili yao vilivyobakia.

Tokeo la picha la chawata tanzania
Previous
Next Post »