Jeneza lenye mwili wa mtoto huyo likiombewa kabla ya
kuingizwa kanisani
Wanafunzi wenzake na mtoto huyo wakiwa katika ibada ya kumuaga mwenzao.
Padre aliyekuwa akiendesha ibada hiyo akilinyunyuzia mafuta ya baraka jeneza lenye mwili wa mtoto Maria.
Baba wa marehemu, ASP Masala (wa pili kulia aliyevaa shati la kitenge), akiwa na ndugu zake na waumini waombolezaji katika ibada ya kuuaga mwili wa mtoto wake kabla ya kuondoka kwenda nyumbani kwao mkoani Rukwa kwa mazishi.
Waombolezaji wakiwa wamejipanga foleni wakati wakienda
Sign up here with your email