VILIO, SIMANZI, MAJONZI VYATAWALA VIFO VYA WATOTO WA MAOFISA WA JESHI LA MAGEREZA WALIOKOSA HEWA NDANI YA GARI JIJINI DAR ES SALAAM - Rhevan Media

VILIO, SIMANZI, MAJONZI VYATAWALA VIFO VYA WATOTO WA MAOFISA WA JESHI LA MAGEREZA WALIOKOSA HEWA NDANI YA GARI JIJINI DAR ES SALAAM



Jeneza lenye mwili wa mtoto huyo likiombewa kabla ya 
kuingizwa kanisani
Wanafunzi wenzake na mtoto huyo wakiwa katika ibada ya kumuaga mwenzao.
Padre aliyekuwa akiendesha ibada hiyo akilinyunyuzia mafuta ya baraka jeneza lenye mwili wa mtoto Maria.

Baba wa marehemu, ASP Masala (wa pili kulia aliyevaa shati la kitenge), akiwa na ndugu zake na waumini waombolezaji katika ibada ya kuuaga mwili wa mtoto wake kabla ya kuondoka kwenda nyumbani kwao mkoani Rukwa kwa mazishi.
Waombolezaji wakiwa wamejipanga foleni wakati wakienda 
kutoa heshima za mwisho. 

Previous
Next Post »