MKUU WA MKOA WA ARUSHA AFUNGUA KIKAO CHA WADAU WA ELIMU - Rhevan Media

MKUU WA MKOA WA ARUSHA AFUNGUA KIKAO CHA WADAU WA ELIMU


 Mkuu wa Mkoa wa Arusha  Mhe. Mrisho Gambo akifungua kikao cha Wadau wa Elimu Mkoa wa Arusha
 Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo akishirikiana na wataalamu kuweka mitambo sawa kwa ajili ya wadau wa Elimu kuwasilisha taarifa.
 Viongozi wa Halmashauri ya Ngorongoro wakifuatilia Kikao cha Wadau wa Elimu
 Wadau wa Elimu kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

     Kaimu Afisa Elimu Mkoa Ndg. Emmanuel Mahondo akiwasilisha taarifa ya Elimu Mkoa wakati wa Kikao cha wadau wa Elimu kilichofanyika kwenye Ukumbi wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha.

Previous
Next Post »