MDAU WA LIBENEKE KUTOKA UGHAIBUNI RAS MAKUNJA ATEMBELEA OFISI ZA MICHUZI MEDIA GROUP JIJINI DAR - Rhevan Media

MDAU WA LIBENEKE KUTOKA UGHAIBUNI RAS MAKUNJA ATEMBELEA OFISI ZA MICHUZI MEDIA GROUP JIJINI DAR


Kamanda wa bendi ya Ngoma Africa aka FFU ya kule nchini Ujerumani, mwanamuziki Ebrahim Makunja aka Ras Makunja mapema leo ametembelea ofisi ya Michuzi Media Group jijini Dar es Salaam na kukutana na Ankal Issa Michuzi  pichani kulia pamoja na Ahmad Michuzi (Michuzi Jr) kushoto.
Kamanda wa bendi ya Ngoma Africa aka FFU ya kule nchini Ujerumani, mwanamuziki Ebrahim Makunja aka Ras Makunja mapema leo ametembelea ofisi ya Michuzi Media Group jijini Dar es Salaam na kukutana na Ankal Issa Michuzi  pichani kulia pamoja na Ahmad Michuzi (Michuzi Jr) kushoto,pamoja na Cathbeth Kajuna

Previous
Next Post »