Serikali
ya Afrika Kusini yapitisha sheria itakayowaruhusu madaktari kuweka
tattoo katika maeneo ya sehemu zao za siri kwa watu walio na virusi vya
UKIMWI.
Kwa mujibu wa muswada huo mtu yeyote atakayepimwa na kupatikana na virusi vya maradhi hayo atapata nasaha ,dawa pamoja na alama ya 'HIV +' kwa maandishi katika maeneo hayo kuthibitisha ugonjwa wake .
Sign up here with your email
