WAZIRI LUKUVI AZINDUA BARAZA LA ARDHI WILAYA YA LUSHOTO MKOANI TANGA - Rhevan Media

WAZIRI LUKUVI AZINDUA BARAZA LA ARDHI WILAYA YA LUSHOTO MKOANI TANGA

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akikata utepe kuashiria kuzindua Ofisi ya Baraza la Ardhi la Wilaya ya Lushoto Mkoa wa Tanga ambako wakazi wa wilaya hiyo walikuwa wakilazimika kusafiri umbali mrefu kwenda wilayani Korogwe kuitafuta haki yao pindi wanapokumbwa na utata katika ardhi.
Waziri Lukuvi akikagua Ofisi mpya ya Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi wilayani Lushoto mkoani Tanga baada ya kuizindua jana asubuhi.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi akiwahutubia wananchi wa wilayani Lushoto mara baada ya kuzindua ofisi mpya za Baraza la Ardhi wilayani Lushoto jana.

Previous
Next Post »