Leo jumanne jioni ya saa 10 katika Uwanja
wa Taifa Dar es Salaam itapigwa mechi kati ya Yanga ya Tanzania na TP
Mazembe ya Congo DRC!
Ni mechi ya kimataifa, Kombe la Shirikisho la Mpira barani Afrika CAF! Tayari Yanga ina rekodi ya kufungwa katika mechi ya kwanza nchini Tunisia.
Mechi ya leo Yanga imejigamba kushinda na imefanya mkakati wa kuingiza wanachama wake bure ili kutia nguvu. Tutakuwa Live hapa JF kuwaletea matukio yote kabla na baada ya mechi.
Pia Azam TV na Super Sport itakuwa live. Hivi punde nitawaletea vikosi vya timu zote.
Ni mechi ya kimataifa, Kombe la Shirikisho la Mpira barani Afrika CAF! Tayari Yanga ina rekodi ya kufungwa katika mechi ya kwanza nchini Tunisia.
Mechi ya leo Yanga imejigamba kushinda na imefanya mkakati wa kuingiza wanachama wake bure ili kutia nguvu. Tutakuwa Live hapa JF kuwaletea matukio yote kabla na baada ya mechi.
Pia Azam TV na Super Sport itakuwa live. Hivi punde nitawaletea vikosi vya timu zote.
Sign up here with your email