Mahakama ya Juu nchini Brazil imemsimamisha kazi spika wa Bunge la Congress, ambaye aliongoza harakati za kumvua mamlaka rais Dilma Rousseff.
Spika huyo Eduardo Cunha anashtumiwa kuwa kizuizi cha uchunguzi dhidi ya tuhuma za ufisadi zinazomkabili.
Sign up here with your email