Nchini Korea Kaskazini kongamano la kwanza kubwa zaidi la chama tawala cha Workers Party linatarajiwa kuanza baadaye mjini Pyongyang.
Hotuba ya kiongozi wa taifa hilo Kim Jong-un inatarajiwa kutawala ufunguzi wa kongamano hilo.
Mwandishi wa BBC mjini Pyongyang anasema huenda Bw Kim akatumia fursa hiyo kutetea na kusisitiza matamanio yake ya zana za kinyuklia.
Sign up here with your email