MKUTANO WA CHAMA TALAWA WAANZA KOREA KASKAZINI. - Rhevan Media

MKUTANO WA CHAMA TALAWA WAANZA KOREA KASKAZINI.

Kim

Image copyrightAP
Image captionNi mkutano wa kwanza mkuu kuongozwa na Kim Jong-un
Nchini Korea Kaskazini kongamano la kwanza kubwa zaidi la chama tawala cha Workers Party linatarajiwa kuanza baadaye mjini Pyongyang.
Hotuba ya kiongozi wa taifa hilo Kim Jong-un inatarajiwa kutawala ufunguzi wa kongamano hilo.
Mwandishi wa BBC mjini Pyongyang anasema huenda Bw Kim akatumia fursa hiyo kutetea na kusisitiza matamanio yake ya zana za kinyuklia.
Previous
Next Post »