SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA ASHIRIKI MKUTANO WA MASPIKA NCHI ZA SADEC - Rhevan Media

SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA ASHIRIKI MKUTANO WA MASPIKA NCHI ZA SADEC



 Spika wa Bunge, Job Ndugai  akisalimiana na Spika wa Bunge la Lesotho Mhe. Nthloi Motsamai katika Mkutano wa Maspika kutoka Nchi Wanachama wa SADC unaendelea Nchini Mauritius. Ndugai ndiye Rais wa Umoja wa Mabunge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Kusini mwa Jangwa la Sahara (SADC Parliamentary Forum)
  Spika wa Bunge, Job Ndugai  akisalimiana na Spika Mstaafu wa Bunge la Zambia,  Amusaa Mwanamwambwa ambaye ni mmoja wa watoa mada katika  Mkutano wa Maspika kutoka Nchi Wanachama wa SADC unaendelea Nchini Mauritius katikati ni Katibu Mkuu wa Sekretarieti ya Umoja huo Dr. Essau Chiviya. Ndugai ndiye Rais wa Umoja wa Mabunge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Kusini mwa Jangwa la Sahara (SADC Parliamentary Forum) 
 Spika wa Bunge, Job Ndugai  akisalimiana na Spika Mstaafu wa Bunge la Zambia , Amusaa Mwanamwambwa ambaye ni mmoja wa watoa mada katika  Mkutano wa Maspika kutoka Nchi Wanachama wa SADC unaendelea Nchini Mauritius katikati ni Katibu Mkuu wa Sekretarieti ya Umoja huo Dr. Essau Chiviya. Mhe. Ndugai ndiye Rais wa Umoja wa Mabunge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Kusini mwa Jangwa la Sahara (SADC Parliamentary Forum) 

Previous
Next Post »