SIMBA APATA MAKAO MAPYA AFRICA KUSINI. - Rhevan Media

SIMBA APATA MAKAO MAPYA AFRICA KUSINI.

Image captionSylvester
Simba ambaye alitoroka mara mbili kutoka kwa mbuga ya wanyamapori nchini Afrika Kusini atapewa makao mpya ambapo ataishi na simba wawili wa kike na kujifunza jinsi la kuwa simba imara.
Simba huyo mwenye umri wa miaka mitatu kwa jina Sylvester aliondoka kwenye mbuga ya Karoo magharibi mwa mji wa cape town kwa mara ya pili na uamuzi ya kumuua ulitupiliwa mbali kutokana na malalamishi ya umma.
Image copyrightAFP
Image captionSimba huyo aliwaua kondoo wengi mwezi Juni
Sylvester aliyepewa jina la myama mwenye kusumbua na maafisa wa mbuga, sasa atapelekwa kwenye mbuga ya ndovu ya Addo, katika mkoa wa Eastern Cape ambapo ataishi na simba wawili wa kike.
Mwezi Juni simba huyo aliwaua kondoo wengi na kusafi umbali ya kilomita 300 kabla ya kupatatika akiwa amalelala na walinzi wa mbuga.
Previous
Next Post »