Waziri wa
Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (katikati) akimsikiliza
mmoja wa abiria anayetumia usafiri wa reli ya kati mkoani Kigoma. Kushoto ni
Mbunge wa Kigoma Mjini, Mhe. Zitto Kabwe na Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Kigoma
Saveli Maketta.
Waziri wa
Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akizungumza na
wafanyakazi wa Shirika la Reli Tanzania (TRL), mkoani Kigoma.
Muonekano wa
mabehewa ya treni yakiwa mwisho wa reli ya kati, mkoani Kigoma.
Waziri wa
Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (wa pili kushoto)
akipata maelezo kutoka kwa Kapteni wa Meli ya MV Liemba ya namna
inavyoendeshwa, mkoani Kigoma.
Waziri wa
Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (wa tatu kulia), akipata
ufafanuzi wa namna ya injini za Meli ya MV Liemba zinavyofanya kazi wakati
alipotembelea Meli hiyo mkoani Kigoma.
Waziri wa
Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (mwenye kizibao cha
njano), akimsikiliza Kapteni Winton Mwassa (wa kwanza kulia), kutoka Kampuni ya
huduma za meli mkoani Kigoma mara baada ya kutembelea na kuona hali ya MV
Liemba.
Sign up here with your email