RIEK MACHAR AWASILI JUBA. - Rhevan Media

RIEK MACHAR AWASILI JUBA.

Image captionRiek Machar
Kiongozi wa waasi nchini Sudan Kusini amewasili nchini humo tayari kuchukua wadhifa wake wa makamu wa urais.Hatua hiyo inajiri baada ya safari yake mjini Juba kuahirishwa mara kadhaa .Kundi lake linasema kuwa kucheleweshwa kwake kunatokana na mipango ya serikali na kwamba alipanga kurudi siku ya Jumatano.
Previous
Next Post »