MSANII MAARUFU WA BONGO FLEVA APATA AJALI MBAYA. - Rhevan Media

MSANII MAARUFU WA BONGO FLEVA APATA AJALI MBAYA.

12917927_1165743726791687_492381393_n
Msanii kutoka Tip top connection Tunda Man amepata ajali mbaya ya gari na dereva kufa papo hapo.Alikuwa na gari aina ya Toyota Aurion alikuwa akitoka mkoani Njombe baada ya kuingia nyuma ya lori eneo la Inyororo  .Meneja wa msanii huyo Babu Tale amethibitisha hilo.



Tunda





Previous
Next Post »