DAR ES SALAAM
UNIVERSAL
AUCTION CENTRE Kwa idhini waliyopewa na Ubalozi wa Marekani watauza kwa
mnada wa hadhara fanicha za ofisi na nyumbani
tarehe 23 April, 2016 Jumamosi
saa 4:00 asubuhi. Mnada utafanyika Golden Resort Sinza, Lion Street. (nyuma ya Lion Hotel Sinza, Dar es salaam)
MALI ZITAKAZOUZWA: Sofa sets, Sofa bed, Chest drawer,
China base, Hatch, Dressers, Coffee table, Book case, Dining table/chairs, Meza
za ofisi, Bamboo chairs, Carpet, Vitanda, Magodoro, Fridge, Freezer, Majiko, Washer, Dryer, Air condition split unit na vingine
vingi.
Mali zote zinaweza kukaguliwa Golden Resort Sinza,Lion Street tarehe 20 mpaka
22 April, 2016 kuanzia saa 4.00 asubuhi
mpaka saa 11.00 jioni.
MASHARTI YA MNADA:
- Mnunuzi atatakiwa
kulipa malipo yote pale pale kwa keshia (cashier).
Mali zote
zitauzwa kama zilivyo bila dhamana.
- Mnunuzi
atawajibika kulipa ushuru na kodi zingine zote.
Mali zote
zilizouzwa zitatakiwa kuondolewa baada ya kulipa malipo yote pamoja na
kodi.
Kwa maelezo
zaidi waone:
UNIVERSAL AUCTION CENTRE
PLOT NO. 5 “E” LION STREET SINZA
CELL NO: 0754 284 926, 0757 284 926
E-mail:
universalauction@hotmail.com
DAR ES SALAAM.
Sign up here with your email