MH JANUARY MAKAMBA AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA SPAIN. - Rhevan Media

MH JANUARY MAKAMBA AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA SPAIN.



 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mh. January Makamba akiongea na Balozi wa Spain nchini Tanzania Bw. Felix Costales. Balozi huyo alimtembelea Mh. Makamba na kufanya mazungumzo ya kudumisha uhusiano baina ya nchi hizo mbili katika sekta ya Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira.



Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mh. January Makamba akiagana na Balozi wa Spain nchini Tanzania Bw. Felix Costales mara baada ya kufanya mazungumzo Mtaa wa Luthuli Jijini Dar es Salaam.

Previous
Next Post »