meya wa jiji mashuhuri hapa tanzania yaani dar mheshmiwa charles mwita tokea kambi ya ukawa amegoma kuhamia kwenye nyumba ya serikali ambayo ni maalum kwaajili ya meya na kudai kua ataendelea kubakia kwenye makazi yake vijibweni huko kigamboni. ingawa haijaelezwa sababu za kuikataa nyumba hiyo je hatua hiyo yaweza kua na tija gani kwa taifa? source gazeti mtanzania
Sign up here with your email