MBUNGE WA MKURANGA ATIMIZA AHADI YA KAMPENI. - Rhevan Media

MBUNGE WA MKURANGA ATIMIZA AHADI YA KAMPENI.



ul14
Mbunge wa Jimbo la Mkuranga Abdalah ulega akifungua bomba la maji huku baadhi ya wananchi wakishuhudia katika kata ya Mkamba kijiji cha Tungi katika hafla fupi ya kukabidhi kisima cha Maji kilichochimbwa kwa ufadhiri wa Taasisi ya kimarekani ya African Reflections Foundatioan wiki hii, katika picha mwenye kofia anayeshuhudia ni Mama Maryborne Pool Mtekelezaji wa mradi kutoka taaisi ya Marekani kutoka African Reflections Foundatioan na kushoto ni Diwani Kata ya Mkamba Bw.Dunga Hassan (Picha zote na Raphael Malekela)
ul1
Mbunge wa Jimbo la Mkuranga Abdalah ulega akizungumza na baadhi ya wananchi wa kata ya Mkamba kijiji cha Tungi katia hafla fupi ya kukabidhi kisima cha Maji kilichochimbwa kwa ufadhiri wa Taasisi ya kimarekani ya African Reflectins Foundatioan, kulia ni Mama Caren kutoka Taasisi ya African Reflectins Foundatioan na kushoto ni Mama Maryborne Pool Mtekelezaji wa mradi huo.
ul4
Mama Maryborne Pool Mtekelezaji wa mradi kutoka taaisi ya Marekani kutoka African Reflections Foundatioan akizungumza jambo huku Mbunge wa jimbo la Mkuranga Mh. Abdallah Ulega akifurahia wakati wa makabidhiano ya mradi wa maji katika kijiji cha Tungi wilaya ya Mkuranga.
ul8
Mama Maryborne Pool Mtekelezaji wa mradi kutoka taaisi ya Marekani kutoka African Reflections Foundatioan na mama Caren kutoka taasisi hiyo pia wakikabidhi madawa ya majikwa mbunge wa jimbo la Mkuranga Mh. Abdallah Ulega.
ul12
Akina mama mbalimbali wakiwa katika makabidhiano ya mradi huo.




Previous
Next Post »