Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu kushoto akimpatia maelezo Wazairi wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu a Mh. Jenista Mhagama maendeleo ya maandalizi ya uzinduzi wa mbio za Mwenge unaotarajiwa kuzinduliwa na Makamu wa Rais Mh. Samia Suluhu katikati, wa kwanza kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mh. Steven Kebwe
Baadhi ya wasanii wakiwa katika maandalizi ya uzinduzi wa mbio za Mwenge unaotarajiwa kuzinduliwa na Makamu wa Rais Mh. Samia Suluhu kesho.
Maandalizi ya uzInduzi wa Mbio za Mwenge yakamilika mkoani Morogoro kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mh. Mh. Steven Kebwe akiangali zoezi la matayarisho ya uzinduzi huo.
Maandalizi ya uzunduzi wa Mbio za Mwenge yakamilika mkoani Morogoro kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mh. Mh. Steven Kebwe akiangali zoezi la matayarisho ya uzinduzi huo na kushoto ni Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Mh. Jenista Mhagama.
Baadhi ya watoto wa shule wakiwa katika maandalizi maandalizi ya uzinduzi wa mbio za Mwenge unaotarajiwa kuzinduliwa na Makamu wa Rais Mh. Samia Suluhu.
Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu kushoto akimpatia maelezo Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu a Mh. Jenista Mhagama maendeleo ya maandalizi ya uzinduzi wa mbio za Mwenge unaotarajiwa kuzinduliwa na Makamu wa Rais Mh. Samia Suluhu
Sign up here with your email
