Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akiongoza kikao cha kwanza cha Baraza la Mapinduzi (BLM) mara baada ya
kuwaapisha Viongozi hao hapo jana, kikao kilichofanyika leo
kiliwajumuisha Mawaziri pamoja na Naibu Mawaziri wote wa wizara 13
katika ukumbi wa Baraza hilo Ikulu Mjini Unguja.Picha na Ikulu.
Sign up here with your email