DKT SHEIN AFANYA KIKAO NA BARAZA LA MAWAZIRI. - Rhevan Media

DKT SHEIN AFANYA KIKAO NA BARAZA LA MAWAZIRI.



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiongoza kikao cha kwanza cha Baraza la Mapinduzi (BLM) mara baada ya kuwaapisha Viongozi hao hapo jana, kikao kilichofanyika leo kiliwajumuisha Mawaziri pamoja na Naibu Mawaziri wote wa wizara 13 katika ukumbi wa Baraza hilo Ikulu Mjini Unguja.Picha na Ikulu. 

Previous
Next Post »