WALIMU WAANZA KUPANDA DALADALA BURE LEO. rhevanstudio 08:47:00 rhevanstudio Walimu wa mkoa wa Dar es Salaam wilaya ya kinondoni leo wameanza kupanda daladala bure baada ya kukabidhiwa vitambulisho na mkuu wa wilaya hiyo Paul Makonda.Ikiwa ni sehemu ya mkakati elimu bure na shukrani kwa walimu. Tweet Share Share Share Share Sign up here with your email