SOMA MAGAZETI YA MARCH 7 JUMATATU. - Rhevan Media

SOMA MAGAZETI YA MARCH 7 JUMATATU.



Aliyekuwa Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali 'CAG', Ludovick Utouh, amezindua rasmi taasisi ya uwajibikaji wa umma

Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan, amesema hali ya maambukizi ya virusi vya ukimwi inazidi kuwa mbaya hasa kwa kundi la vijana


Walimu wakuu 8 wavuliwa madaraka kwa ulevi Igunga, huku waratibu kata saba wakipewa onyo kali kutokana na makosa mbalimbali










































Previous
Next Post »