Katibu CWT amjia juu Prof Ndalichako
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Mwalimu Ezekiel Olouch amesema upangaji matokeo ya kidato cha nne kwa mfumo wa divisheni uliofanywa na Wizara ya Elimu, ni batili na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako anatakiwa kushtakiwa.
Mwalimu Olouch aliitoa kauli hiyo juzi kwenye kongamano la walimu Kitengo cha Wanawake Manispaa ya Dodoma kuwa, Profesa Dk Ndalichako anapaswa kushtakiwa.
Sign up here with your email

