HUKUMU YA WAZIRI WA MAGUFULI NI KESHO SAA NANE. - Rhevan Media

HUKUMU YA WAZIRI WA MAGUFULI NI KESHO SAA NANE.




Kesho majira ya saa nane kamili Mzungu/Muitaliano aliyeibua ufisadi wa January Makamba akifanyia udalali rasilimali za nchi ataongea kila kitu, ikiwa ni pamoja na kutoa ushahidi mwingine wa Barua Pepe, Audio, na MSG...

Hatua hii inakuja baada ya Jana January kuongea huku akimshutumu kuwa ni tapeli. Kwa maana hiyo kaamua kesho kuongea na waandishi wa habari na watanzania kwa ujumla.... 

Waandishi wa habari wote mnaalikwa. Kesho saa nane kamili!.....
Previous
Next Post »