BAADA YA AGIZO LA MKUU WA WILAYA WALIMU WAZALILIKA. - Rhevan Media

BAADA YA AGIZO LA MKUU WA WILAYA WALIMU WAZALILIKA.


Baada ya agizo la mkuu wa wilaya Paul Makonda kwa madereva wa daladala walimu wa shule za wilaya hiyo kupanda daladala bure.Gari hili limeamua kuweka kauli ya kuwazalilisha walimu hao.Huku habari za mtaani makonda wa daladala hizo wakiwa wanawachukia walimu hao na mwisho kuwabeba walimu wasiozidi watatu kwenye daladala moja,
Previous
Next Post »