WAZIRI AHUDHURIA MDAHALO ASUBUHI YA LEO. - Rhevan Media

WAZIRI AHUDHURIA MDAHALO ASUBUHI YA LEO.



Naibu Waziri wa Afya akiwa kwenye mdahalo wa asubuhi wa Policy Forum uliofanyika leo kuzungumzia Changamoto na fursa za kuondoa umaskini ifikapo mwaka 2030. Wadau walizungumzia jitihada za ziada zinazohitajika Kufikia malengo ya maendeleo endelevu (SDGs)


Previous
Next Post »