
Taarifa kwamba kuna Mawaziri ambao hawakujaza fomu za Maadili au kuficha mali zao katika tangazo la Mali na Madeni ni jaribio kubwa kwa Rais Magufuli kuhusu dhamira yake ya kupambana dhidi ya Ufisadi. Sheria ya Maadili ya sasa, licha ya udhaifu wake, ikitekelezwa ( enforced) ni silaha bora ya kuweka misingi ya Maadili katika Uongozi wa Umma.
Sign up here with your email