WAKUFUNZI WASIMAMISHWA KAZI. - Rhevan Media

WAKUFUNZI WASIMAMISHWA KAZI.


Wakufunzi watatu wakazi(Resident Tutors) wa Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima wamesimamishwa kazi kwa uzembe na kukiuka taratibu. Wanadaiwa kukiuka taratibu na kuwadanganya wananchi kuhusu uteuzi wa wanafunzi wanaopaswa kujiunga na Elimu ya sekondari katika vituo vya Elimu ya Watu Wazima.

Previous
Next Post »