TRA YATOA UTARATIBU WA MAPATO HADHARANI. - Rhevan Media

TRA YATOA UTARATIBU WA MAPATO HADHARANI.


Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA)Alphayo Kidata akifafanua kwa waandishi wa habari leo jijini Dar jinsi Mamlaka hiyo ilivyofanikiwa kukusanya mapato kutoka trilioni 1.2 kwa mwezi Disemba mpaka trilioni 1 na bilioni 79 kwa mwezi Januari na kwa mwezi Februari wanatarajia kukusanya trilioni 1.013 na tayari wamefikia nusu ya malengo waliyojiwekea.

Previous
Next Post »