RAIS MAGUFULI AWAPIGA BITI MAWAZIRI. - Rhevan Media

RAIS MAGUFULI AWAPIGA BITI MAWAZIRI.



Rais Magufuli atoa mpaka saa 12 leo jioni, Mawaziri 4 na Naibu waziri mmoja wawe wamerejesha fomu za maadili kwa Tume, wakishindwa watakuwa wamejifukuzisha 

Mawaziri hao ni Charles Kitwanga, January Makamba, Joyce Ndalichako, Agustine Mahiga na Luhaga Mpina 
Previous
Next Post »