NYOTA WA REAL MADRID ACHUKUA TUZO. - Rhevan Media

NYOTA WA REAL MADRID ACHUKUA TUZO.


Nyota wa Real Madrid leo amechukua Tuzo ya Pichichi baada ya kuibuka mfungaji Bora wa La Liga Msimu uliopita, alifunga magoli 48. Hii ni mara ya 3 mreno huyo anachukua Tuzo hiyo . "Marca Awards"ni tuzo zinazotolewa na gazeti la michezo la Marca la nchini Hispania 

Previous
Next Post »