
Baada ya Mbwana Samatta kujiunga na Klabu ya Genk ya Ubelgiji kutimia, sasa ni rasmi kuwa klabu yake ya zamani ya Simba itapata malipo ya Sh milioni 200/- kutokana na kipengele kilichowekwa katika mkataba wa awali ambapo Simba walimwuza Mbwana kwa klabu ya TP Mazembe ya DR Congo.
Kipengele hicho cha mkataba ambacho uongozi wa Simba wa wakati huo
Sign up here with your email