MAMA JANET MAGUFULI AMTEMBELEA MUFTI MKUU HOSPITALI. - Rhevan Media

MAMA JANET MAGUFULI AMTEMBELEA MUFTI MKUU HOSPITALI.


Embedded image permalink

Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akisindikizwa baada ya kumjulia hali Mufti Mkuu wa Tanzania
Sheikh Abubakar Zubeiry aliyelazwa kwa matibabu katika taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili.Pamoja naye ni Waziri wa Afya, na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi hiyo Profesa Mohamed Janabi leo
Embedded image permalink
Previous
Next Post »