JIJI LA DAR ES SALAAM NI FAINI TU. - Rhevan Media

JIJI LA DAR ES SALAAM NI FAINI TU.


Katika majiji yanayokuwa kwa kasi barani Afrika, jiji la Dar ni miongoni lakini ukuaji wake hauendani na hali nzima ya usafi,halmashauri ya  jiji wamekuja na kitu kinachoitwa 'smart area' ambapo mtu akionekana anatupa uchafu faini elfu hamsini

Previous
Next Post »