WAZIRI MKUU AMPA POLE MAMA MARIA NYERERE. - Rhevan Media

WAZIRI MKUU AMPA POLE MAMA MARIA NYERERE.

Waziri Mkuu,Kassim Majliwa akitia saini kitabu cha Maombolezo ya kifo cha Mbunge wa zamani,Leticia Nyerere

Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa na mkewe Mary(kulia)wakiagana na mjane wa Baba wa taifa, Mama Maria Nyerere wakati walipokwenda nyumbani kwa Baba wa taifa,Msasani jijini Dar es salaam Jana kuhani msiba wa Mbunge wa zamani, Leticia Nyerere.


Previous
Next Post »