Aliyekuwa Mgombea Urais wa CUF, Maalim Seif amemwandikia barua kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis akimuomba kutumia ushawishi wake na Tanzania kumaliza mzozo wa kisiasa kisiwani humo kabla hali haijawa mbaya.
Amemweleza Papa Francis kuwa baadhi ya shughuli za kiuchumi zimesimama kutokana na wananchi wengi kuwa na hofu kuhusu mustakabali wa nchi yao.
Amemweleza Papa Francis kuwa baadhi ya shughuli za kiuchumi zimesimama kutokana na wananchi wengi kuwa na hofu kuhusu mustakabali wa nchi yao.
Sign up here with your email